www.nipetanosolowa.blospot.com

Monday, September 10, 2012

TUME YA KATIBA INAENDELEA NA MAJUKUMU YAKE NA SASA IPO MKOANI RUVUMA.

    Mwenyekiti wa tume ya mabadiliko ya katiba Jaji Joseph Sinde Warioba akizunguamza na waandishi wa habari katika hoteli ya Seed Farm Villa mjini Songea jana kuhusu ukusunyaji wa maoni ya wananchi kuhusu katiba mpya,kulia ni kiongozi wa timu hiyo inayokusanya maoni mkoani Ruvuma Profesa Mwesiga Baregu.

No comments: