www.nipetanosolowa.blospot.com

Tuesday, September 11, 2012

WAANDISHI WA HABARI WAANDAMANA KUPINGA MAUUAJI YA MWENZAO.

        Waandishi wa habari wa vyombo mbalimbali vya habari vya hapa Tanzania wakiandamana kuelekea viwanja vya jangwani Jijini Dar es salaam.
       Kwa hisia kali wanaandamana kupinga mauaji ya kikatili yaliofanya na polisi kumuua mwandishi wa kituo cha channel 10 mkoani Iringa Ndugu Daud Mwangosi yaliotokea september 2.
      Katibu mkuu wa jukwaa la wahariri Tanzania Ndg.Nevil Meena akitoa tamko katika maandamano hayo jijini Dar es salaam.

No comments: