www.nipetanosolowa.blospot.com

Monday, September 10, 2012

THOMAS MOURRIS MNKAY,MKALI ASIYE NA BAHATI YA KUITWA TIMU YA TAIFA.

Anaitwa Thomas Morris Mnkay ukimwangalia kwa makini uwanjani unaweza kukubaliana nami kwa kusema kwamba hana bahati ya kuitwa katika timu ya Taifa.Ni mtanzania ambaye kwa sasa anacheza katika timu ya Bandari ya Mombasa Kenya..Thomas Morris ambaye alishawahi kuchezea timu kubwa maarufu hapa Tanzania kama Kariakoo Lindi,Miembeni,Yanga African na Mtibwa sugar ambazo zote zinashiriki na zilishiriki ligi kuu ya hapa Tanzania.Katika historia fupi ya soka Thomas Morris alishacheza mashindano mbalimbali ya kitaifa na kimataifa,Aliingoza Yanga SC katika mashindano ya klabu bingwa Africa mwaka 2006-2007.Thomas Morris alikua mmoja kati ya wachezaji waliokuwa wanafunga magoli mengi katika ligi kuu ya Tanzania na mashindano mbalimbali.tt
Add caption





No comments: