www.nipetanosolowa.blospot.com

Saturday, September 29, 2012

RICK ROSS IN TANZANIA..................

  Msanii wa hip hop kutoka Marekani Rick Ross annatarajia kufanya shoo kali katika Tamasha la Fiesta litakalo fanyika katika viwanja vya Leaders Club Kinondoni,Jijini Dar es Salaam siku ya jumamosi ya tarehe 06/10/2012.Msanii Rick Ross ndio mara yake ya kwanza kuja Tanzania,Anatarajiwa kusindikizwa na wasanii kibao wa hapa Tanzania katika tamasha hilo la Fiesta 2012,kama Roma,Linnah,Mwana Fa,Diamond,Barnaba,Godzillar na wasanii wengine wengi wa hapa nyumbanii.Tamasha la Fiesta huandaliwa na Clouds Fm,Mwaka huu likiwa na kauli mbiu FIESTA 2012 BHAAAAAAAAAAAAAAAAASSSSSSSSSSSSSIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIII..........

No comments: