www.nipetanosolowa.blospot.com

Monday, August 6, 2012

KEAGAN MSHINDI BBA 2012.

Mwakilishi wa Afrka ya  Kusini katika michuano ya BBA amefanikiwa kuwa mshindi katika michuano hiyo baaada ya kuwabwaga washiriki wengine akiwemo tegemeo la Waafrika Mashariki Prezoo.

2 comments:

Unknown said...

kapendelewa ushindi wake sio halali

Anonymous said...

ahahahaha...asiye kubali kushindwa sio mshindani