Wabunge wakifuturu kwenye ukumbi wa basement,bungeni mjini Dodoma julai 28,2012.Futari hiyo imeandaliwa na wabunge waislamu na waliofuturu ni wabunge wa dini zote pamoja na madereva wa wabunge.
Baadhi ya wabunge walioudhuria futari katika ukumbi wa basement,bungeni mjini Dodoma julai 28,2012.
No comments:
Post a Comment