www.nipetanosolowa.blospot.com

Sunday, July 29, 2012

Rais Kikwete afungua kongamano la tatu la jikwaa la uhusiano wa China na Africa katika kupunguza umasikini.

    Rais Jakaya Mrisho Kikwete akifungua kongamano la tatu la jukwaa la uhusiano wa China na Bara la Afrika lenye lengo la kuondoa umasikini katika hotel ya White Sands iliyopo jijini Dar es salaam july 28,2012.
    Wa tatu kutoka kushoto ni waziri wa wa China anayeshughulikia umasikini Mhe.Fan Xiaojian,wa pili kulia na waziri wa ofisi ya rais Mhe. Steven Wassira,wa pili kushoto ni naibu waziri wa fedha na maendeleo Sierra Leone Mhe. Momodu Kargbo,kushoto ni katibu mtendaji wa tume ya mipango Dkt. Philip Mpango na kulia kabisa na balozi wa China hapa nchini Mhe. L.V.Youqing.
   Rais Jakaya Mrisho Kikwete akihutubia katika ufunguzi wa kongamano la tatu la jukwaa la uhusiano wa China na Bara la Afrika katika hotel ya White Sands jijini Dar es salaam july 28,2012.
  Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimsikiliza waziri wa china anayeshughulikia umasikini Mhe. Fan Xiaojian(kushoto) na balozi wa China hapa nchini Mhe. L.V.Youqing baada ya kufungua kongamano la tatu la jukwaa la uhusiano wa China na Bara la Afrika katika kuondoa umasikini.

No comments: