www.nipetanosolowa.blospot.com

Tuesday, July 31, 2012

TANZANIA NA MALAWI ZAKUTANA KUJADILI MGOGORO WA MPAKA.

      Waziri wa mambo ya nchi za nje na ushirikiano wa kimataifa wa Tanzania Mhe.Benard Membe(kushoto) na waziri wa mambo ya nje wa Malawi Mhe. Epraim Chiume wakipata chai kabla ya kikao cha kuhusu mgogoro wa mpaka wa Tanzania na Malawi katika hotel ya Kilimanjaro Hyatt Regency jijini Dar es salaam hivi karibuni.
      Balozi wa Tanzania nchini Malawi Patrick Tsere na balozi wa malawi hapa nchini Bibi Flossie Chidyaonga wakiwasalimiana kwa furaha walipokutana katika mkutano huo kuhusu mgogoro wa mpaka wa Tanzania na Malawi.
    Baadhi ya maofisa wa timu ya Tanzania katika majadiliano hayo wakiwa wanasubiri kuingia katika kikao hicho.

No comments: