Moja ya shule iliyo athilikika na mgomo wa walimu wanafunzi wakiwa wanazurura nje sababu walimu wao hawakuingia madarasani kufundisha,hii inatokana na sababu ya mgomo uliotangazwa na chama cha waalimu taifa.
Mgomo huu umekuja kipindi ambacho wanafunzi wa darasa la saba wanajiandaa na mtihani wao wa kumaliza elimu ya msingi.
No comments:
Post a Comment