www.nipetanosolowa.blospot.com

Saturday, July 28, 2012

Fainal Kagame Cup inaendelea,,,Dk 64,YANGA 1-0 AZAM



mambo yanavyoendelea katika uwanja wa taifa,washabiki wa Yanga na Azam FC wakifatilia mechi ya fainali kwa makini,
dakika ya 64 Yanga FC wanaongoza kwa goli moja lililofungwa na mchezaja Hamisi Kiiza.

No comments: