www.nipetanosolowa.blospot.com

Monday, July 30, 2012

BONDIA MTANZANIA SELEMANI KIDUNDA APOTEZA MCHEZO WAKE WA KWANZA KATIKA MASHINDANO YA OLIMPIKI LONDON.

        Wadau wa michezo walioko London,kushoto Ndg. Amosi Msanjila afisa wa ubalozi London,mtangazaji maarufu wa BBC Ndg. Charles Hilary,makamu wa rais TBF Ndg. Phares Magesa na mchambuzi mahiri wa michezo wa BBC Ndg. Israel Saria.
     Bondia wa Tanzania Selemani Kidunda mwenye fulana nyekundu akiwa na viongozi na baadhi ya wadau wa michezo wakati akienda kupigana bondia toka Moldova Belous Vasilii,Kidunda alipoteza mchezo huo kwa point 7-20.

No comments: