basi lenye namba za usajili T 140 BSG linalofanya safari kati ya Dar na Maundo Tandahimba lili pinduka na kuuwa mtu mmoja na kujeruhi wengine kumi.
Tukio hilo lilitokea katika kijiji cha Sinza-Miteja wilaya ya Kilwa mkoa wa Lindi katika barabara kuu ya Dar-Mtwara.
No comments:
Post a Comment